Posts

Showing posts from January, 2015

Jinsi chatu alivyo noma

mmmmmmmmmmmmmmm😃😃😃😃😃😃😃 chatuu ni nomaa sana  see how python is powerfully it  amazing

Elephant chasing bike rider

Who is the Winner???????

SNAKE VS CHAMILION FIGHT CLICK TO SEE VIDEO

THE KING OF THE FOREST KILLED

LI ON KILLED BY GROUP OF  BUFFALO

KIBOKO WA KOBRA

KIBOKO WA KOBRAA  CLICK TO SEE VIDEO

Nature Bridge

Image
Tanzania got a lot wonders As a Tanzanian as well as foreigner you may be interested with this beautiful nature visit and see the beauty of TANZANIA. The bridge locates at MBEYA Region in Tanzania

Power of Succes

Image
Together we can, let us share it  Always keep try Never give up  Believe Concentrate        

NEVER GIVE UP IN YOUR DREAMS....

Image
MWAJILIWA NI MTUMWA WA PESA! JE NINI CHA KUFANYA KUONGEZA KIPATO CHAKO? Ndg zangu ukitaka kuongeza kipato chako kila mwezi lazima utambue kwa thamani ya muda wako katika kuitafuta pesa. Ukisha tambua hilo kama unajipatia pesa ambayo haikidhi mahitaji yako mpendwa hakikisha kuwa una ongeza muda wako wa kuitafuta pesa kutoka katika muda wa kawaida unao tumia kuitafuta hiyo pesa ndogo! KWA NINI MWAJIRIWA NI MTUMWA WA PESA? Mwalimu julius K Nyerere alisema hivi hakuna UMASIKINI MKUBWA KAMA UMASIKINI WA KUFIKILI. Ndivyo wasomi wengi na waajiliwa wengi wanaangamia kwa kutokuwa na uwezo wa kufikili na kubuni miradi mbali mbali na hatimaye kuishia kupata PESA ZA DHULUMA,WIZI NA RUSHWA. ONGEA NA WASOMI NA WAAJILIWA WENGI WAMEKATA TAMAA NA MAISHA NA HAWANA MATUMAINI KIMAISHA. JE MFANYAKAZI ANALIPWA PESA GANI? Wafanyakazi wote hujipatia aina ya kipato kinaitwa RECIPROCAL INCOME. Hiki ni kipato ambacho unajipatia pale tu unapofanya KAZI kwa muda fulani. Kama usipofanya kazi hii pesa haingii k